Dawa ya Jino, Tiba Asilia ya Jino linalouma

General Description

Source: Thabit Said



Release date: 2019-05-25



Duty Station: Tanzania
82415 visits!... Deadline: 2022-12-31 00:00:00

DAWA YA JINO SI KUNG'OA

HUNASABABU YA KUNG'OA MENO YAKO

DAWA MUJARRABU YA KUTIBU MENO

 

Mahitaji
1.? Mafuta ya karafuu/clove oil.
2.? mafuta ya Nazi/coconut oil.
3.? Kitunguu maji.
4.? Kitunguu swaum.
5.? Pilipili manga.
6.?Chumvi ya mawe/unga wake

 

MAANDALIZI
Ponda ponda Kitunguu maji,Kitunguu swaumu,chumvi ya mawe na pilipili manga kisha changanya na mafuta na Nazi na mafuta ya karafuu kwa kiasi kidogo (robo kijiko kidogo cha chai) kisha chukua mchanganyiko huu kisha uweke juani kwa muda wa dakika 15 kisha toa juani.

 

MATUMIZI

1.ikiwa jino lina tundu
chukua uji uji wa mchanganyiko huu kisha weka katika tundu na mafuta yake yapakaae pembezoni mwa jino linalouma.

2.ikiwa jina halina tundu
pakaa mafuta ya mchanganyiko huu pembezoni kulizunguka jino linalouma

Tumia dawa hii kutwa mara tatu kwa muda wa siku tatu jino lako litakuwa limepona kabsaa

 

TANBIH/UZINDUSHI:
? Dawa hii inamatokeo ya haraka sana ambapo unaweza kutumia papo hapo jino likapoa,hivyo hakikisha unamaliza dozi kwa muda ulioelekezwa.

? Jiepushe na kunywa vinywaji vya moto sana au vya barid sana mpaka umalize dozi kwa muda uliopangwa.

Baarakallahu fiikum

 

HAURUHUSIWI KUBADILI MAELEKEZO


Contacts bofya kwenye namba kuwasiliana nazo 
+255764516995
+255656198441

thabitsayd@gmail.com



Share via Whatsapp

Promoted Ads

No preview available
Amih pure Honey (Asali mbichi)
256

Visits

TZS 13,000
No preview available
Ramani na ujenzi wa nyumba
674

Visits

TZS 300,000
No preview available
Sport fishing boat
1423

Visits

TZS 23,000,000
No preview available
Abaya baibui
2545

Visits

TZS 75,000

+ Tafadhali weka maoni yako hapa..

Advertise with us

© 2024 Zenji Shoppazz . All rights reserved | Design by W3layouts and Zenji Shoppazz Choose language : Kiswahili